iqna

IQNA

nasir al mulk
TEHRAN (IQNA)- Mchoraji mahiri Muirani Hassan Rouholamin amechora mchora katika Msikiti wa Nasir al-Mulk ulio Shiraa kama sehemu ya harakati za sanaa na fashihi za 'Kongamano la Kimataifa la Muhammad SAW, Mtume wa Rahma."
Habari ID: 3474086    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/10